Kamusi ya Msingi Kiswahili - EnglishÂ

KSh810.00
Type: Books

Je, ungependa kuifahamu lugha ya Kiingereza kama unavyoifahamu lugha ya Kiswahili? Je, ungependa kujua tafsiri za Kiingereza za maneno ya Kiswahili unayoyajua? Basi Kamusi ya Msingi Kiswahili- English itakusaidia.

Kamusi hii ina:
- Mada kuu 27
- Maneno muhimu ya Kiswahili zaidi ya 1,800 na tafsiriza maneno hayo
- Wingi wa nomino
- Mifano rahisi ya sentensi katika Kiswahili na Kiingereza
- Michoro zaidi ya 1,200 ya kupendeza

Customer Reviews

No reviews yet
0%
(0)
0%
(0)
0%
(0)
0%
(0)
0%
(0)